Skip to main content

MKUNDE PORI KIBOKO YA UZAZI | TASA

MIZIZI YA MKUNDE PORI NA FAIDA ZAKE


■ Inasafisha kizazi

■ Inazibua mirija iliyoziba

■ Inaondoa sumu kwa wale waliotumia sindano za uzazi/vidonge vya uzazi.

■ Inakomaza mayai kwa wale wenye tatizo la mayai kutokukomaa na kusababisha mayai kutokupevuka

■ Inasogeza kizazi karibu kwa wale ambao vizazi vyao vipo mbali



■ Majani ya mkunde pori pia ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume

• Dalili mojawapo itakayokufanya ujue dawa hii ya mkunde pori inafanya kazi ni kwenda haja ndogo mara nyingi kuliko kawaida.
• Dalili nyingine ni tumbo kuvuta sana chini ya kitovu.
Usipoona dalili hizi usiogope maana ukubwa wa tatizo unatofautiana.

ANGALIZO KWA WANAWAKE WATAKAOTUMIA KWA AJILI YA UZAZI, Ukinywa dawa hii hakikisha siku za hatari unakutana na mwenzi wako...na baada ya hapo usitumie dawa mpaka upime mimba kwanza maana mimba nyingine dalili zake huchelewa kuonekana hivyo unaweza ukanywa tena mimba kama imeingia ikatoka.
Wajawazito hawaruhusiwi kutumia.

MATUMIZ

CHUKUA MIZIZ YAKE CHEMSHA KISHA KUNYWA ASUBUH MCHANA NA JION KWA UJAZO WA GLASS YA MAJI AU KIKOMBE CHA CHAI

TUMIA KWA SIKU 21 KWA MATATIZO YOTE HAPO JUU

Kwa Maelezo Zaidi +255762405213 Mbeya


Comments

  1. Asante na mim ntatumia uo mkundepoli

    ReplyDelete
  2. Ukisha chemsha
    unaweza tunzika kwa siku ngapi?

    ReplyDelete
  3. Muhanga mimi jamani natamani mtoto hata saa hii nimekunywa dawa hadi mwili umekua mchungu

    ReplyDelete
    Replies
    1. Yani hatupixhan jaman na iliingia ikatoka kwajil ya mchsngo mkal saiz nahangaika kwel kila nikijarbu hola

      Delete
  4. Umri umeongea Ila bado naona siku zangu nitatumia Mungu awabariki walioamua tusaidia wanawake ambao ahwajapakata watoto

    ReplyDelete
  5. Jamani wengine wanasema huo sio mkunde pori basi wananichanganya

    ReplyDelete
  6. Naitajikujua matumizi ya majani yake kwa mimi wakiume

    ReplyDelete
  7. Unapatikana wapi nahitaji hyo miziz yake...

    ReplyDelete
  8. Unapatikana wapi nahitaji hyo mizizi yake...

    ReplyDelete
  9. Shukrani mungu atusaidiy wahanga wote

    ReplyDelete
  10. Jamani Mimi Nina ovarian cyst kwenye ovary yangu nikitumia mkunde pori utanisaidia kuitoa ili nipate ujauzito kweli

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

RAHA YA KUWA NA MWANAMKE MWEUSI KWENYE MAHUSIANO

Nilikuwaga sielewi kwanini hawa wanawake weusi aka blacks wanasifiwa sana?. Jaman hii type ni raha sana kudate nayo unakuwa huna stress kwanza hawana vizinga vya kizembe zembe, wanaridhika hata wakipewa kitu kidogo, yani wanajua kupenda na wengi wana true love. Sijamaliza bado, wanawake weusi wanajua nini maana ya mapenzi, wanajua kukaa na mwanaume halafu pia wanajituma sana akija ghetto anafanya kila kitu hadi kubrash viatu.  Ukija kwenye kule kwa 6x6 sio wachoyo kukupa na wanajua balaa ni mafundi na hawana maringo kabisa.  Shida ya hizi rangi nyeupe ni kwamba zina maringo sana na wanavizinga sana unakuta dada kaupele kadogo kameota anataka dawa halafu utasikia 50k dawa ya uson wtf?? Hawa mademu weupe wana vizinga sana halafu wengi ni malaya sana. Nasema haya coz me nilikuwa mhanga sana wa hizi type nyeupe ila toka nianze kula hizi nyeusi mmeona utofauti mkubwa sana mpaka nimeanza kuwaelewa mablacks yani hawana complications. Popote mlipo nyie wanawake weusi agizeni mirinda

STORI YANGU; NILIZAA NA WEWE KWAKUA UNAWEZA KUHUDUMIA MTOTO!

Wote tuliingia kazini siku moja, mimi niliajiriwa kama afisa mikopo wakati yeye aliajiriwa kama mhasibu lakini wote tulianzia kama mateila mpaka baada ya kama miezi sita hivi ndiyo tulitoka na kila mtu akawa ameenda katika kitengo chake.  Kuna dada mwingine ambaye walikua kitengo komoja na wote tulikua marafiki. Mimi ni msiri sana hivyo hata nilipoanzisha mahusiano yangu na Kelvin (Sio jina lake halisi) sikumuambia mtu yoyote zaidi ya Edna ambaye ingawa tulikutana kazini lakini alishaanza kuwa kama Dada yangu. Edna alikua ni rafiki yangu mkubwa, anakuja nyumbani kwangu tunaongea na nilimsaidia katika mambo mengi. Wakati Mama yake anaumwa kalazwa hospitali nakumbuka aliishiwa kabisa, hata kodi ya nyumba alikosa, walitaka kumfukuza lakini nikatoa pesa yangu laki tisa na kumlipia, baadaye alipotaka kunirudishia nilimuambia hapana. Alishukuru sana, kwa upande wa Kelvin mahusiano yetu yalikua hatakaharaka, tulifanya karibu kila kitu pamoja. Wakati nanunua kiwanja ili kujenga yeye ali