Skip to main content

MKUNDE PORI KIBOKO YA UZAZI | TASA

MIZIZI YA MKUNDE PORI NA FAIDA ZAKE


■ Inasafisha kizazi

■ Inazibua mirija iliyoziba

■ Inaondoa sumu kwa wale waliotumia sindano za uzazi/vidonge vya uzazi.

■ Inakomaza mayai kwa wale wenye tatizo la mayai kutokukomaa na kusababisha mayai kutokupevuka

■ Inasogeza kizazi karibu kwa wale ambao vizazi vyao vipo mbali



■ Majani ya mkunde pori pia ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume

• Dalili mojawapo itakayokufanya ujue dawa hii ya mkunde pori inafanya kazi ni kwenda haja ndogo mara nyingi kuliko kawaida.
• Dalili nyingine ni tumbo kuvuta sana chini ya kitovu.
Usipoona dalili hizi usiogope maana ukubwa wa tatizo unatofautiana.

ANGALIZO KWA WANAWAKE WATAKAOTUMIA KWA AJILI YA UZAZI, Ukinywa dawa hii hakikisha siku za hatari unakutana na mwenzi wako...na baada ya hapo usitumie dawa mpaka upime mimba kwanza maana mimba nyingine dalili zake huchelewa kuonekana hivyo unaweza ukanywa tena mimba kama imeingia ikatoka.
Wajawazito hawaruhusiwi kutumia.

MATUMIZ

CHUKUA MIZIZ YAKE CHEMSHA KISHA KUNYWA ASUBUH MCHANA NA JION KWA UJAZO WA GLASS YA MAJI AU KIKOMBE CHA CHAI

TUMIA KWA SIKU 21 KWA MATATIZO YOTE HAPO JUU

Kwa Maelezo Zaidi +255762405213 Mbeya


Comments

  1. Asante na mim ntatumia uo mkundepoli

    ReplyDelete
  2. Ukisha chemsha
    unaweza tunzika kwa siku ngapi?

    ReplyDelete
  3. Muhanga mimi jamani natamani mtoto hata saa hii nimekunywa dawa hadi mwili umekua mchungu

    ReplyDelete
    Replies
    1. Yani hatupixhan jaman na iliingia ikatoka kwajil ya mchsngo mkal saiz nahangaika kwel kila nikijarbu hola

      Delete
  4. Umri umeongea Ila bado naona siku zangu nitatumia Mungu awabariki walioamua tusaidia wanawake ambao ahwajapakata watoto

    ReplyDelete
  5. Jamani wengine wanasema huo sio mkunde pori basi wananichanganya

    ReplyDelete
  6. Naitajikujua matumizi ya majani yake kwa mimi wakiume

    ReplyDelete
  7. Unapatikana wapi nahitaji hyo miziz yake...

    ReplyDelete
  8. Unapatikana wapi nahitaji hyo mizizi yake...

    ReplyDelete
  9. Shukrani mungu atusaidiy wahanga wote

    ReplyDelete
  10. Jamani Mimi Nina ovarian cyst kwenye ovary yangu nikitumia mkunde pori utanisaidia kuitoa ili nipate ujauzito kweli

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

RAHA YA KUWA NA MWANAMKE MWEUSI KWENYE MAHUSIANO

Nilikuwaga sielewi kwanini hawa wanawake weusi aka blacks wanasifiwa sana?. Jaman hii type ni raha sana kudate nayo unakuwa huna stress kwanza hawana vizinga vya kizembe zembe, wanaridhika hata wakipewa kitu kidogo, yani wanajua kupenda na wengi wana true love. Sijamaliza bado, wanawake weusi wanajua nini maana ya mapenzi, wanajua kukaa na mwanaume halafu pia wanajituma sana akija ghetto anafanya kila kitu hadi kubrash viatu.  Ukija kwenye kule kwa 6x6 sio wachoyo kukupa na wanajua balaa ni mafundi na hawana maringo kabisa.  Shida ya hizi rangi nyeupe ni kwamba zina maringo sana na wanavizinga sana unakuta dada kaupele kadogo kameota anataka dawa halafu utasikia 50k dawa ya uson wtf?? Hawa mademu weupe wana vizinga sana halafu wengi ni malaya sana. Nasema haya coz me nilikuwa mhanga sana wa hizi type nyeupe ila toka nianze kula hizi nyeusi mmeona utofauti mkubwa sana mpaka nimeanza kuwaelewa mablacks yani hawana complications. Popote mlipo nyie wanawake weusi agizen...

USIMUAMINI KAMWE....!!

Dada zangu naomba niandike kwa sauti kubwa kabisa mnielewe maana aisee mnadanganyika na uongo mwingine mpaka mnanpia hasira ipo siku nitavunja simu yangu hapa na hali ilivyo ngumu! Iko hivi, kama una mpenzi wako, mpo kwenye mahusiano kwa zaidi ya miezi mitatu, narudia zaidi ya miezi mitatu, hajawahi kukupeleka kwake, mechi anataka mkapigie gest au nyumbani kwako. Ukitaka kwenda kwake anaanza sijui pale wambea wengi, mara bado naishi kwetu, mara naishi na wadogo zangu, mara kuna wageni wengi sijui nini? Kuna mwingine kaambiwa eti nyumba ina choo cha nnje utasumbuka na yeye akaamini. Unakuta mwanaume anakupa visababau sababu vya kijinga jinga ambavyo havieleweki, mwanaume anafanya kazi lakini hataki kabisa ujue kwao. Hata ukimuambia kuwa nionyeshe basi nyumba ilipo hata kama sitafika niingie hataki. Lakini sasa na hapa ndiyo mnadanganywa mwanaume huyu huyu unaweza kumpigia simu hata saa nane usiku tena wakati mwingine Video call basi huyu ana mke kabisa au mwanamke anaishi naye. Wan...