Wakati wakutongozwa mkubali mwanaume kwakua amekuvutia, ukimuangalia unasema huyu tunaweza kuvumiliana hata katika mahusiano, kwakua anakuheshimu kwamba anapoongea na wewe haongei kauli za dharau na kishenzi na tatu kwakua yuko salama kiafya (sasa hapa ni kama na wewe upo tayari kupima) ila ukimkubali mwanaume kwakua alikuambia sijui nini, sijui yuko siriasi anataka kuoa, sijui katoka kuumizwa, sijui anakupenda basi jua imekula kwako.
Asilimia 90 ya maneno wanaume wengi wanayoongea wakati wanatongoza ni uongo. Kuna utongozaji wa namna mbili, aina ya kwanza ni kutongoza mwanamke usiyemjua, huyu umekutana naye kwenye Basi, mtaani, anapita njia na popote humjui hakujui, hapa unatumia ubaharia, unaonyesha tabia njema ukikisia labda anapenda hii na kile, unamsoma vizuri mwanamke na unamuacha ajiongeze mwenyewe.
Mmabaharia tunajua kuwa ukimuacha mwanamke kuongea atakuambia kila kitu anachokipenda mara “Ohhh mimi nishaumizwa sana… nataka mtu siriasi ..nilikua na mahusiano na mwanaume blah blah blah…. Mara hivi napenda kile” Unamuacha anaongeawee kisha ukifungua mdomo ushajua anataka nini unaanza kuigiza kile anachotaka. Kama kakuambia kaumizwa unampa namna ulivyoachana na X wako baada ya kumfumania, namna ulivyokua unamhudumia X wako lakini hana shukurani…namna ulivyoachana na mke wako kwakua alikuahampendi Mama yako na utumbo utumbo mwingi dada anaona mwanaume ndiyo huyu!
Aina ya pili ya kutongoza ni kwa mwanamke unayemjua, huyu unafungua mafaili yake, labda n rafiki yako unajua kuwa katoka kuumizwa, labda anapenda pesa, mtu wa kulialia anataka ndoa na vingine. Labda unamjua rafiki yake, unamuuliza anakupa mafaili yote, ukienda kumtongoza tayari ushajua na uongo wa kumpa lazima ataingia laini tu kwakua unaenda na majibu. Kama ulikua hujui hii mbinu hata kama wewe si baharia ni rahisi na dada zangu unaweza kukutana na mwanaume unaona kila kitu uanchotaka ndiyo yeye.
Yaani mpaka unahisi Mungu kamshusha kwani hujamuambia kuhusu ndoa kashaanza kuongea mambo ya kuoakuoa usiriasi, mambo ya kutaka kutulia sijui na mipango kibao mpaka unasahau kadanga kako. Dada kama unasoma hapa na ukamkubali mwanaume sababu ya ahadi zake basi kapimwe ubongo wako. Watu wanakesha kufuatilia mafaili yako, akija kwakoa nakupa majibu, na wengine mnasema wenyewe napenda hiki napenda mwanaume anayepiga simu, anayefanya hivi, anayefanya vile sasa kwanini asifanye, ila akishakupata sasa kwaninia igize tena, Kuku ushamchinja kwanini uhangaike tena kumrushia Mahindi?
Mimi nishamaliza, wewe katongozwe, sijakuambia umedanganywa kuhusu ndoa ila nakuambia wanaume ni waongo hivyo kuwa makini endelea kufuatilia na mtag basi na rafiki yako
Asilimia 90 ya maneno wanaume wengi wanayoongea wakati wanatongoza ni uongo. Kuna utongozaji wa namna mbili, aina ya kwanza ni kutongoza mwanamke usiyemjua, huyu umekutana naye kwenye Basi, mtaani, anapita njia na popote humjui hakujui, hapa unatumia ubaharia, unaonyesha tabia njema ukikisia labda anapenda hii na kile, unamsoma vizuri mwanamke na unamuacha ajiongeze mwenyewe.
Mmabaharia tunajua kuwa ukimuacha mwanamke kuongea atakuambia kila kitu anachokipenda mara “Ohhh mimi nishaumizwa sana… nataka mtu siriasi ..nilikua na mahusiano na mwanaume blah blah blah…. Mara hivi napenda kile” Unamuacha anaongeawee kisha ukifungua mdomo ushajua anataka nini unaanza kuigiza kile anachotaka. Kama kakuambia kaumizwa unampa namna ulivyoachana na X wako baada ya kumfumania, namna ulivyokua unamhudumia X wako lakini hana shukurani…namna ulivyoachana na mke wako kwakua alikuahampendi Mama yako na utumbo utumbo mwingi dada anaona mwanaume ndiyo huyu!
Aina ya pili ya kutongoza ni kwa mwanamke unayemjua, huyu unafungua mafaili yake, labda n rafiki yako unajua kuwa katoka kuumizwa, labda anapenda pesa, mtu wa kulialia anataka ndoa na vingine. Labda unamjua rafiki yake, unamuuliza anakupa mafaili yote, ukienda kumtongoza tayari ushajua na uongo wa kumpa lazima ataingia laini tu kwakua unaenda na majibu. Kama ulikua hujui hii mbinu hata kama wewe si baharia ni rahisi na dada zangu unaweza kukutana na mwanaume unaona kila kitu uanchotaka ndiyo yeye.
Yaani mpaka unahisi Mungu kamshusha kwani hujamuambia kuhusu ndoa kashaanza kuongea mambo ya kuoakuoa usiriasi, mambo ya kutaka kutulia sijui na mipango kibao mpaka unasahau kadanga kako. Dada kama unasoma hapa na ukamkubali mwanaume sababu ya ahadi zake basi kapimwe ubongo wako. Watu wanakesha kufuatilia mafaili yako, akija kwakoa nakupa majibu, na wengine mnasema wenyewe napenda hiki napenda mwanaume anayepiga simu, anayefanya hivi, anayefanya vile sasa kwanini asifanye, ila akishakupata sasa kwaninia igize tena, Kuku ushamchinja kwanini uhangaike tena kumrushia Mahindi?
Mimi nishamaliza, wewe katongozwe, sijakuambia umedanganywa kuhusu ndoa ila nakuambia wanaume ni waongo hivyo kuwa makini endelea kufuatilia na mtag basi na rafiki yako
Comments
Post a Comment