Unapolalamika kua mume wangu hataki kunipa mtaji, mpenzi wangu hataki kunipa mtaji hembu rudi nyuma kidogo na jiulize maswali mawili, kwanza jiulize je asingekuepo ungeupata wapi huo mtaji na swali la pili jiulize je kama asipokupa kabisa utaendelea kulalamika au utatafuta namna. Wanaume wengi hawatoi mitaji kwa wake zao kwakua wanaamini kua wakiwapa mitaji na wakifanikiwa watakua na kiburi, lakini hiyo haimaanishi usimamishe maisha yako kwakua yeye hataki, hembu fanya kama vile hayupo na kisha fikiria tena namna ya kupata mtaji!
MIZIZI YA MKUNDE PORI NA FAIDA ZAKE ■ Inasafisha kizazi ■ Inazibua mirija iliyoziba ■ Inaondoa sumu kwa wale waliotumia sindano za uzazi/vidonge vya uzazi. ■ Inakomaza mayai kwa wale wenye tatizo la mayai kutokukomaa na kusababisha mayai kutokupevuka ■ Inasogeza kizazi karibu kwa wale ambao vizazi vyao vipo mbali ■ Majani ya mkunde pori pia ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume • Dalili mojawapo itakayokufanya ujue dawa hii ya mkunde pori inafanya kazi ni kwenda haja ndogo mara nyingi kuliko kawaida. • Dalili nyingine ni tumbo kuvuta sana chini ya kitovu. Usipoona dalili hizi usiogope maana ukubwa wa tatizo unatofautiana. ANGALIZO KWA WANAWAKE WATAKAOTUMIA KWA AJILI YA UZAZI, Ukinywa dawa hii hakikisha siku za hatari unakutana na mwenzi wako...na baada ya hapo usitumie dawa mpaka upime mimba kwanza maana mimba nyingine dalili zake huchelewa kuonekana hivyo unaweza ukanywa tena mimba kama imeingia ikatoka. Wajawazito hawaruhusiwi kutumia. MATUMIZ CHUKUA MIZIZ...
Comments
Post a Comment