Yapata Miaka Mitano ilopita, baada ya kuona Maisha Bongo yamekaza, Ninja
huyoooo nikapanda Mwewe kwenda zangu Dubai Kuwa Mfagia Barabara na mbeba
Mabox. Usicheke Katika Nchi za wenzetu kazi ni kazi, na kila mmoja
anaheshimu kazi ya mwenzie.
Kule nilifikia kwa jamaa zangu wawili, Jamaa Walikuwa na Gheto hivyo mzee
nikajoin Nikawa naishi nao pamoja. So Asubuhi kila mmoja ilikuwa anachomoka
anaenda kwenye Mishe yake, Kama Ni kuuza Utumbo hayaa kama ni kwenda
kuzibua vyoo hayaa. Ila mbishi kazi yangu ilikuwa
nafagia Barabara karibu na Mall of the Emirates, wazee wa kule nadhani
wanapajua. Gheto tulikuwa na ratiba hivyo ilivyofika tu Jioni mwenye zamu
yake aliwahi kwenda kuandaa maakuli.
Kuna mtanzania Mwenzetu, kwa jina Tom yeye alikuwa ni Doctor pale, so alikuwa
na mafanikio na alifanikiwa kuchukua apartment akawa anaishi pale na
Mchumba wake wa kibongo. Mchumba wake alikuwa ni mtoto wa Kingoni aisee!
Nyuma alikuwa kafungashia Pundamilia huyo hakuna!. Kwa kawaida Wangoni ni
weusi kama Mafuta ya Bunduki ila yule sijui alitolea wapi rangi yake nzuri
ya Brown! Pembeni alikuwa kafungasha zile watu wanaziita Pisto, Ila zake
niliona zimezidi na kuwa Bunduki kabisa. Ninja AKA baba Uchu nilikuwa
nakodoa macho hadi yanataka kutoka, Umbali wa Tulipokuwa tunakaa hadi
walipokuwa wao ilikuwa ni mwendo kama wa Dk 30 au 40.
Siku moja tukiwa gheto tumechill ghafla Tukasikia Njee 'James' 'Jamesss',
james Alikuwa ni mmoja wa jamaa tulokuwa tunaishi nao. So wazee baada ya
kufungua Mlango pale Wowww! Alikuwa ni Tom na mkewe, wamemeremeta balaa. Tom
akatwambia Vipi wazee naweza Kuwatoa Dinner. Bila Hiyana pale wazee
Tukakubali, Mzee Huyo alikuwa ana mkoko wa mmoja matata sana Aina Ya Audi.
Akatujaza mle wazee haoooo nduki. Tulipita Sheikh zayed road Kuelekea Upande
wa Mashariki. Hapo Sheikh Zayed Road Panda FLY OVER moja hatari!!! Wazee
dubai najua mnanielewa.
Basi Bana, baada ya Muda Akatufikisha mgahawani na kutuambia kuwa Kampuni
yake anayofanyia kazi Inamtaka aende USA kwa ajili ya kuongeza taaluma.
safari ambayo ingemchukua takriban Miezi 10! hivyo akatuomba sana kuwa
tumtumnzie mchumba wake kipindi atakachokuwa safari Maada Ile Mitaa Wabongo
tulikuwa pekeetu. Kwa kauli ile nikahisi kama mbuzi kafia kwa muuza supu
vile!, ila ghafla nikaja kung'amua kuwa pale tulipo Si TZ. Kifupi tupo
kwenye Dunia nyingine! nikashusha pumzi maana Demu mwenyewe Ukimuona tu
Unaogopa anavutia hatari! Nikaona Potelea Mbali Vya kaisari Muachie Kaisari
mwenyewe, Kamwe Usitake kushindana na hawa kina kaisari.
Basi Kwa Pamoja pale tukampa Hongera Mshikaji kwa Kupata Nafasi Hiyo, kisha
baada ya Wiki Akakwea Mwewe kwenda USA. Huwezi Amini safari hii American
Ninja Ujanja ulikuwa Mfukoni maana Demu wangu alikuwa ni Punyeto. Mzee
nilipiga Pundeto hadi Mic Ikaanza Kuchubuka! Ukame! Ukame! Ukame!! wa maduu
uliniandama. Si kwamba Maduu hawapo wapo ila ni wale malaya, so mimi na Hao
Viumbe hapana.
Kwenye punyeto Mzee nilikuwa nafumba macho na kuanza kuvuta picha za Mamanzi
wangu wote niliowahi kudate nao maishani. Kisha naanza kuwachambua mmoja
baada ya mwingine kwenye Memory ya kichwa, namchambua Jane naona kwa sasa
Hafai namtoa namvuta Roza, Namvua Nguo, namuona Rosa akiwa Uchi kabisa pale
kwenye memory, Navuta picha yake akicheka, Akiwa anaguna wakati nampiga
miti, akilia kwa mahaba, Akiwa anafika mshindo. ghafla nami huku najikuta
nafika mshindoni pwaaaah. wakati huo ikumbukwe kuwa nakuwa naipepeta Mic
yaani juu chini juu chini!..
Siku moja nakumbuka Ilikuwa ni Jumapili, mimi pamoja na washkaji zangu
tulikuwa nyumbani. Kwenye mida ya saa saba mimi nakawa napiga story na Demu
wangu wa Bongo, So nilikuwa nachat nae huku napiga story na jamaa zangu.
Ghafla Nikajichanganya kutuma ujumbe Nilokuwa nimeuandika ''Nakupenda''
Badala ya kumtumia Veronica, Mimi nikamtumia Vero!! Vero ndo Shemeji
Tuloambiwa tumtunze na Tom AKA Kibopa.
Itaendelea endelea kufuatilia ukurasa huu
huyoooo nikapanda Mwewe kwenda zangu Dubai Kuwa Mfagia Barabara na mbeba
Mabox. Usicheke Katika Nchi za wenzetu kazi ni kazi, na kila mmoja
anaheshimu kazi ya mwenzie.
Kule nilifikia kwa jamaa zangu wawili, Jamaa Walikuwa na Gheto hivyo mzee
nikajoin Nikawa naishi nao pamoja. So Asubuhi kila mmoja ilikuwa anachomoka
anaenda kwenye Mishe yake, Kama Ni kuuza Utumbo hayaa kama ni kwenda
kuzibua vyoo hayaa. Ila mbishi kazi yangu ilikuwa
nafagia Barabara karibu na Mall of the Emirates, wazee wa kule nadhani
wanapajua. Gheto tulikuwa na ratiba hivyo ilivyofika tu Jioni mwenye zamu
yake aliwahi kwenda kuandaa maakuli.
Kuna mtanzania Mwenzetu, kwa jina Tom yeye alikuwa ni Doctor pale, so alikuwa
na mafanikio na alifanikiwa kuchukua apartment akawa anaishi pale na
Mchumba wake wa kibongo. Mchumba wake alikuwa ni mtoto wa Kingoni aisee!
Nyuma alikuwa kafungashia Pundamilia huyo hakuna!. Kwa kawaida Wangoni ni
weusi kama Mafuta ya Bunduki ila yule sijui alitolea wapi rangi yake nzuri
ya Brown! Pembeni alikuwa kafungasha zile watu wanaziita Pisto, Ila zake
niliona zimezidi na kuwa Bunduki kabisa. Ninja AKA baba Uchu nilikuwa
nakodoa macho hadi yanataka kutoka, Umbali wa Tulipokuwa tunakaa hadi
walipokuwa wao ilikuwa ni mwendo kama wa Dk 30 au 40.
Siku moja tukiwa gheto tumechill ghafla Tukasikia Njee 'James' 'Jamesss',
james Alikuwa ni mmoja wa jamaa tulokuwa tunaishi nao. So wazee baada ya
kufungua Mlango pale Wowww! Alikuwa ni Tom na mkewe, wamemeremeta balaa. Tom
akatwambia Vipi wazee naweza Kuwatoa Dinner. Bila Hiyana pale wazee
Tukakubali, Mzee Huyo alikuwa ana mkoko wa mmoja matata sana Aina Ya Audi.
Akatujaza mle wazee haoooo nduki. Tulipita Sheikh zayed road Kuelekea Upande
wa Mashariki. Hapo Sheikh Zayed Road Panda FLY OVER moja hatari!!! Wazee
dubai najua mnanielewa.
Basi Bana, baada ya Muda Akatufikisha mgahawani na kutuambia kuwa Kampuni
yake anayofanyia kazi Inamtaka aende USA kwa ajili ya kuongeza taaluma.
safari ambayo ingemchukua takriban Miezi 10! hivyo akatuomba sana kuwa
tumtumnzie mchumba wake kipindi atakachokuwa safari Maada Ile Mitaa Wabongo
tulikuwa pekeetu. Kwa kauli ile nikahisi kama mbuzi kafia kwa muuza supu
vile!, ila ghafla nikaja kung'amua kuwa pale tulipo Si TZ. Kifupi tupo
kwenye Dunia nyingine! nikashusha pumzi maana Demu mwenyewe Ukimuona tu
Unaogopa anavutia hatari! Nikaona Potelea Mbali Vya kaisari Muachie Kaisari
mwenyewe, Kamwe Usitake kushindana na hawa kina kaisari.
Basi Kwa Pamoja pale tukampa Hongera Mshikaji kwa Kupata Nafasi Hiyo, kisha
baada ya Wiki Akakwea Mwewe kwenda USA. Huwezi Amini safari hii American
Ninja Ujanja ulikuwa Mfukoni maana Demu wangu alikuwa ni Punyeto. Mzee
nilipiga Pundeto hadi Mic Ikaanza Kuchubuka! Ukame! Ukame! Ukame!! wa maduu
uliniandama. Si kwamba Maduu hawapo wapo ila ni wale malaya, so mimi na Hao
Viumbe hapana.
Kwenye punyeto Mzee nilikuwa nafumba macho na kuanza kuvuta picha za Mamanzi
wangu wote niliowahi kudate nao maishani. Kisha naanza kuwachambua mmoja
baada ya mwingine kwenye Memory ya kichwa, namchambua Jane naona kwa sasa
Hafai namtoa namvuta Roza, Namvua Nguo, namuona Rosa akiwa Uchi kabisa pale
kwenye memory, Navuta picha yake akicheka, Akiwa anaguna wakati nampiga
miti, akilia kwa mahaba, Akiwa anafika mshindo. ghafla nami huku najikuta
nafika mshindoni pwaaaah. wakati huo ikumbukwe kuwa nakuwa naipepeta Mic
yaani juu chini juu chini!..
Siku moja nakumbuka Ilikuwa ni Jumapili, mimi pamoja na washkaji zangu
tulikuwa nyumbani. Kwenye mida ya saa saba mimi nakawa napiga story na Demu
wangu wa Bongo, So nilikuwa nachat nae huku napiga story na jamaa zangu.
Ghafla Nikajichanganya kutuma ujumbe Nilokuwa nimeuandika ''Nakupenda''
Badala ya kumtumia Veronica, Mimi nikamtumia Vero!! Vero ndo Shemeji
Tuloambiwa tumtunze na Tom AKA Kibopa.
Itaendelea endelea kufuatilia ukurasa huu
Comments
Post a Comment