Skip to main content

UKWELI KUHUSU MAMA; KWANINI AKINA MAMA HUWABUSU WATOTO WAO?


Mapenzi ya Mama kwa mtoto wake ni ya kipekee ambayo hayawezi kufananishwa na kitu chochote, narudia hayawezi kufananishwa na mapenzi ya aina yoyote hata yale ya Baba kwa mtoto wake.

Hii ndiyo maana mwili wa mwanamke bila kujijua unamlinda mtoto tangu siku ya kwanza ya kutungwa mimba. Kuna mambo ambayo wanawake hufanya bila kujijua wanafanya nini lakini ni ya muhimu sana kwa maisha ya watoto wao.

Nadhani umeshawahi kuona, mtoto akiwa mchanga, akinamama hupenda kuwabusubusu, Mama atambusu mtoto kila mara, akamkumbatia na hata kutamani kumng’ata.

Kama ni Mama nadhani unajua, unaweza kujikuta unambusu tu mwanao, wakati mwingine bila hata kujali ni mchafu au la? Hivi unajua kuwa ni kwanini?

Lakini Mama unakuta anamng’ata kucha mtoto, yaani kamshika na wala hajali anang’ata moja moja, yeye anadhani ni kwakua anaogopa wembe utamkata, hapana kuna kitu kingine zaidi ya hicho!

Lakini pia unakumbuka kuwa, kuna siku uji ulimwagikia mwanao mkononi badala ya kumfuta kwa kitambaa ukaulamba ule mkono? Hivi unajua kwanini ulifanya hivyo?

Najua unadhani kuwa ni kwaajili ya mapezni uliyonayo kwake, nikweli lakini kuna kitu kingine kikubwa zaidi ha hicho. Kinga ya mtoto kwa magonjwa hutengenezwa wakati mtoto yuko tumboni.

Lakini hiyo ni kidogo sana na haitoshi, kwani mtoto anakua yuko sehemu salama, mtoto anapozaliw ana kukutana na mzingira ya nnje, kunakuwa na uchafu, wadudu na vitu vingine ambavyo vinaweza kumsafishia magonjwa wkaati hana kinga ya kutosha.

Sasa Mama anapombusu mtoto wake, anapomng’ata kucha, kumlamba mikono, ni mwili wake unamuambia kufanya hivyo. Mdomo wa Mama unapogusa mwili wa mtoto, kunakuwa na wadudu wadudu wa ambao husababusha magonjwa.

Sasa mwili wa Mama unachukua sample ya wale wadudu, kupitia mdomo, pua na kupeleka mwilini kwa Mama. Unauambia mwili wa Mama kuwa mwanao kazungukwa na wadudu flani na flani.

Mwili wa Mama unatengeneza kinga kwaajili ya wale wadudu ambao mtoto anaweza kuwameza kwa kushika, kula, au kupumua. Sasa ile kinga hupelekwa katika maziwa ya Mama.

Mtoto anaponyonya basi anakutana na kinga ile tayari ishatengenezwa. Ndiyo Mama anamtengenezea mwanae dawa, hii ndiyo maana unashauriwa kunyonyesha kwa muda mrefu kwani wakati huo mwili wa mtoto haujawa imara sana kutengeneza kinga yake wenyewe.

Sasa kwanini usimpende Mama yako wakati ndiyo alikua Daktari wako wa kwanza, ndiyo inawezekana ana mapungufu yake kama mwanadamu lakini hembu pima mazuri aliyokufanyia na hayo unayoyaona mabaya.

Comments

Popular posts from this blog

MKUNDE PORI KIBOKO YA UZAZI | TASA

MIZIZI YA MKUNDE PORI NA FAIDA ZAKE ■ Inasafisha kizazi ■ Inazibua mirija iliyoziba ■ Inaondoa sumu kwa wale waliotumia sindano za uzazi/vidonge vya uzazi. ■ Inakomaza mayai kwa wale wenye tatizo la mayai kutokukomaa na kusababisha mayai kutokupevuka ■ Inasogeza kizazi karibu kwa wale ambao vizazi vyao vipo mbali ■ Majani ya mkunde pori pia ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume • Dalili mojawapo itakayokufanya ujue dawa hii ya mkunde pori inafanya kazi ni kwenda haja ndogo mara nyingi kuliko kawaida. • Dalili nyingine ni tumbo kuvuta sana chini ya kitovu. Usipoona dalili hizi usiogope maana ukubwa wa tatizo unatofautiana. ANGALIZO KWA WANAWAKE WATAKAOTUMIA KWA AJILI YA UZAZI, Ukinywa dawa hii hakikisha siku za hatari unakutana na mwenzi wako...na baada ya hapo usitumie dawa mpaka upime mimba kwanza maana mimba nyingine dalili zake huchelewa kuonekana hivyo unaweza ukanywa tena mimba kama imeingia ikatoka. Wajawazito hawaruhusiwi kutumia. MATUMIZ CHUKUA MIZIZ

RAHA YA KUWA NA MWANAMKE MWEUSI KWENYE MAHUSIANO

Nilikuwaga sielewi kwanini hawa wanawake weusi aka blacks wanasifiwa sana?. Jaman hii type ni raha sana kudate nayo unakuwa huna stress kwanza hawana vizinga vya kizembe zembe, wanaridhika hata wakipewa kitu kidogo, yani wanajua kupenda na wengi wana true love. Sijamaliza bado, wanawake weusi wanajua nini maana ya mapenzi, wanajua kukaa na mwanaume halafu pia wanajituma sana akija ghetto anafanya kila kitu hadi kubrash viatu.  Ukija kwenye kule kwa 6x6 sio wachoyo kukupa na wanajua balaa ni mafundi na hawana maringo kabisa.  Shida ya hizi rangi nyeupe ni kwamba zina maringo sana na wanavizinga sana unakuta dada kaupele kadogo kameota anataka dawa halafu utasikia 50k dawa ya uson wtf?? Hawa mademu weupe wana vizinga sana halafu wengi ni malaya sana. Nasema haya coz me nilikuwa mhanga sana wa hizi type nyeupe ila toka nianze kula hizi nyeusi mmeona utofauti mkubwa sana mpaka nimeanza kuwaelewa mablacks yani hawana complications. Popote mlipo nyie wanawake weusi agizeni mirinda

STORI YANGU; NILIZAA NA WEWE KWAKUA UNAWEZA KUHUDUMIA MTOTO!

Wote tuliingia kazini siku moja, mimi niliajiriwa kama afisa mikopo wakati yeye aliajiriwa kama mhasibu lakini wote tulianzia kama mateila mpaka baada ya kama miezi sita hivi ndiyo tulitoka na kila mtu akawa ameenda katika kitengo chake.  Kuna dada mwingine ambaye walikua kitengo komoja na wote tulikua marafiki. Mimi ni msiri sana hivyo hata nilipoanzisha mahusiano yangu na Kelvin (Sio jina lake halisi) sikumuambia mtu yoyote zaidi ya Edna ambaye ingawa tulikutana kazini lakini alishaanza kuwa kama Dada yangu. Edna alikua ni rafiki yangu mkubwa, anakuja nyumbani kwangu tunaongea na nilimsaidia katika mambo mengi. Wakati Mama yake anaumwa kalazwa hospitali nakumbuka aliishiwa kabisa, hata kodi ya nyumba alikosa, walitaka kumfukuza lakini nikatoa pesa yangu laki tisa na kumlipia, baadaye alipotaka kunirudishia nilimuambia hapana. Alishukuru sana, kwa upande wa Kelvin mahusiano yetu yalikua hatakaharaka, tulifanya karibu kila kitu pamoja. Wakati nanunua kiwanja ili kujenga yeye ali