Skip to main content

WAKATI UNAVUMILIA HEMBU TAFUTA NA KAKAZI KAKUFANYA


Wakati mwingine mpaka basi, mtu kakuoa ulikua na biashara yako, kakupenda na elimu yako kwa maana kua utaajiriwa na utafanya kazi. Umeenda kwake kakudanganya danganya na wewe na uvivu wako umekubali kuacha kazi.

Haya mambo yanenda kidogokidogo, mwanzo alikua anakuheshimu lakini baada ya muda anaona umekua mzigo, anaona kumbe ile kazi sio tu ilikua inakusaidia kununua vinguo vyako lakini pia ilikua inaomoesha na wadogo zako hivyo ni jukumu lake sasa si hataki ufanye kazi.

Anakasirika ananza kukunyanyasa kua kula kulala, sijui ndugu zako wanamsumbu eti anajiona kama vile ameoa familia nzima. Bado hujiongezi anaamua kuchepuka kabisa, tena kwa dharau anakuonyesha anaipa simu michepuko yake ikutukane.

Nawewe usivyojielewa umeamua kuvumilia ukisema Mungu atalipiza, haya hapo poteli ya mbali. Lakini badala uamkie sasa uanze kutafuta kazi unaendelea kulala kwa kisingizio eti hataki nifanye kazi. Pumbavu! Mnatia hasira, mbona wewe hutaki achepuke lakini bado anachepuka.

Sasa haisishii hapo anakutelekeza na watoto ndiyo unaanza kulia, kwenda kusumbua ndugu ambao nao wana matatizo yao, unaenda kwenu kumbwagia Mama yako watoto au kwa Kaka yako kwenda kuharibu ndoa yake kwa kugombana na wifi yako.

Dada yangu acha ujinga, kama mumeo anachepuka na hataki ufanye kazi, muambie Baba nakupenda ila najua kama umefikia hatua unachepuka ipo siku utanitelekeza hivyo sitaki kuadhirika, muambie hata mimi sipendi uchepuke lakini ndiyo hivyo, sina namna navumilia na wewe vumilia nifanye kazi.

Sasa wewe endelea kubembelezea  ndoa hapo na kulialia utalia vizuri siku akikutelekeza kabisa. Mwanaume anapochepuka anakua amepoteza haki ya kukupangia kua usifanye kazi au la, ingawa hata hiyo hakuwa nayo huko nyuma ila kama una akili umnielewa kuwa kama ameweza kuchepuka basi anaweza pia na kukutelekeza.

#BADILIKA #AMKA #SHARE

Comments

Popular posts from this blog

MKUNDE PORI KIBOKO YA UZAZI | TASA

MIZIZI YA MKUNDE PORI NA FAIDA ZAKE ■ Inasafisha kizazi ■ Inazibua mirija iliyoziba ■ Inaondoa sumu kwa wale waliotumia sindano za uzazi/vidonge vya uzazi. ■ Inakomaza mayai kwa wale wenye tatizo la mayai kutokukomaa na kusababisha mayai kutokupevuka ■ Inasogeza kizazi karibu kwa wale ambao vizazi vyao vipo mbali ■ Majani ya mkunde pori pia ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume • Dalili mojawapo itakayokufanya ujue dawa hii ya mkunde pori inafanya kazi ni kwenda haja ndogo mara nyingi kuliko kawaida. • Dalili nyingine ni tumbo kuvuta sana chini ya kitovu. Usipoona dalili hizi usiogope maana ukubwa wa tatizo unatofautiana. ANGALIZO KWA WANAWAKE WATAKAOTUMIA KWA AJILI YA UZAZI, Ukinywa dawa hii hakikisha siku za hatari unakutana na mwenzi wako...na baada ya hapo usitumie dawa mpaka upime mimba kwanza maana mimba nyingine dalili zake huchelewa kuonekana hivyo unaweza ukanywa tena mimba kama imeingia ikatoka. Wajawazito hawaruhusiwi kutumia. MATUMIZ CHUKUA MIZIZ

RAHA YA KUWA NA MWANAMKE MWEUSI KWENYE MAHUSIANO

Nilikuwaga sielewi kwanini hawa wanawake weusi aka blacks wanasifiwa sana?. Jaman hii type ni raha sana kudate nayo unakuwa huna stress kwanza hawana vizinga vya kizembe zembe, wanaridhika hata wakipewa kitu kidogo, yani wanajua kupenda na wengi wana true love. Sijamaliza bado, wanawake weusi wanajua nini maana ya mapenzi, wanajua kukaa na mwanaume halafu pia wanajituma sana akija ghetto anafanya kila kitu hadi kubrash viatu.  Ukija kwenye kule kwa 6x6 sio wachoyo kukupa na wanajua balaa ni mafundi na hawana maringo kabisa.  Shida ya hizi rangi nyeupe ni kwamba zina maringo sana na wanavizinga sana unakuta dada kaupele kadogo kameota anataka dawa halafu utasikia 50k dawa ya uson wtf?? Hawa mademu weupe wana vizinga sana halafu wengi ni malaya sana. Nasema haya coz me nilikuwa mhanga sana wa hizi type nyeupe ila toka nianze kula hizi nyeusi mmeona utofauti mkubwa sana mpaka nimeanza kuwaelewa mablacks yani hawana complications. Popote mlipo nyie wanawake weusi agizeni mirinda

STORI YANGU; NILIZAA NA WEWE KWAKUA UNAWEZA KUHUDUMIA MTOTO!

Wote tuliingia kazini siku moja, mimi niliajiriwa kama afisa mikopo wakati yeye aliajiriwa kama mhasibu lakini wote tulianzia kama mateila mpaka baada ya kama miezi sita hivi ndiyo tulitoka na kila mtu akawa ameenda katika kitengo chake.  Kuna dada mwingine ambaye walikua kitengo komoja na wote tulikua marafiki. Mimi ni msiri sana hivyo hata nilipoanzisha mahusiano yangu na Kelvin (Sio jina lake halisi) sikumuambia mtu yoyote zaidi ya Edna ambaye ingawa tulikutana kazini lakini alishaanza kuwa kama Dada yangu. Edna alikua ni rafiki yangu mkubwa, anakuja nyumbani kwangu tunaongea na nilimsaidia katika mambo mengi. Wakati Mama yake anaumwa kalazwa hospitali nakumbuka aliishiwa kabisa, hata kodi ya nyumba alikosa, walitaka kumfukuza lakini nikatoa pesa yangu laki tisa na kumlipia, baadaye alipotaka kunirudishia nilimuambia hapana. Alishukuru sana, kwa upande wa Kelvin mahusiano yetu yalikua hatakaharaka, tulifanya karibu kila kitu pamoja. Wakati nanunua kiwanja ili kujenga yeye ali