Skip to main content

WAKATI UNAVUMILIA HEMBU TAFUTA NA KAKAZI KAKUFANYA


Wakati mwingine mpaka basi, mtu kakuoa ulikua na biashara yako, kakupenda na elimu yako kwa maana kua utaajiriwa na utafanya kazi. Umeenda kwake kakudanganya danganya na wewe na uvivu wako umekubali kuacha kazi.

Haya mambo yanenda kidogokidogo, mwanzo alikua anakuheshimu lakini baada ya muda anaona umekua mzigo, anaona kumbe ile kazi sio tu ilikua inakusaidia kununua vinguo vyako lakini pia ilikua inaomoesha na wadogo zako hivyo ni jukumu lake sasa si hataki ufanye kazi.

Anakasirika ananza kukunyanyasa kua kula kulala, sijui ndugu zako wanamsumbu eti anajiona kama vile ameoa familia nzima. Bado hujiongezi anaamua kuchepuka kabisa, tena kwa dharau anakuonyesha anaipa simu michepuko yake ikutukane.

Nawewe usivyojielewa umeamua kuvumilia ukisema Mungu atalipiza, haya hapo poteli ya mbali. Lakini badala uamkie sasa uanze kutafuta kazi unaendelea kulala kwa kisingizio eti hataki nifanye kazi. Pumbavu! Mnatia hasira, mbona wewe hutaki achepuke lakini bado anachepuka.

Sasa haisishii hapo anakutelekeza na watoto ndiyo unaanza kulia, kwenda kusumbua ndugu ambao nao wana matatizo yao, unaenda kwenu kumbwagia Mama yako watoto au kwa Kaka yako kwenda kuharibu ndoa yake kwa kugombana na wifi yako.

Dada yangu acha ujinga, kama mumeo anachepuka na hataki ufanye kazi, muambie Baba nakupenda ila najua kama umefikia hatua unachepuka ipo siku utanitelekeza hivyo sitaki kuadhirika, muambie hata mimi sipendi uchepuke lakini ndiyo hivyo, sina namna navumilia na wewe vumilia nifanye kazi.

Sasa wewe endelea kubembelezea  ndoa hapo na kulialia utalia vizuri siku akikutelekeza kabisa. Mwanaume anapochepuka anakua amepoteza haki ya kukupangia kua usifanye kazi au la, ingawa hata hiyo hakuwa nayo huko nyuma ila kama una akili umnielewa kuwa kama ameweza kuchepuka basi anaweza pia na kukutelekeza.

#BADILIKA #AMKA #SHARE

Comments

Popular posts from this blog

MKUNDE PORI KIBOKO YA UZAZI | TASA

MIZIZI YA MKUNDE PORI NA FAIDA ZAKE ■ Inasafisha kizazi ■ Inazibua mirija iliyoziba ■ Inaondoa sumu kwa wale waliotumia sindano za uzazi/vidonge vya uzazi. ■ Inakomaza mayai kwa wale wenye tatizo la mayai kutokukomaa na kusababisha mayai kutokupevuka ■ Inasogeza kizazi karibu kwa wale ambao vizazi vyao vipo mbali ■ Majani ya mkunde pori pia ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume • Dalili mojawapo itakayokufanya ujue dawa hii ya mkunde pori inafanya kazi ni kwenda haja ndogo mara nyingi kuliko kawaida. • Dalili nyingine ni tumbo kuvuta sana chini ya kitovu. Usipoona dalili hizi usiogope maana ukubwa wa tatizo unatofautiana. ANGALIZO KWA WANAWAKE WATAKAOTUMIA KWA AJILI YA UZAZI, Ukinywa dawa hii hakikisha siku za hatari unakutana na mwenzi wako...na baada ya hapo usitumie dawa mpaka upime mimba kwanza maana mimba nyingine dalili zake huchelewa kuonekana hivyo unaweza ukanywa tena mimba kama imeingia ikatoka. Wajawazito hawaruhusiwi kutumia. MATUMIZ CHUKUA MIZIZ...

RAHA YA KUWA NA MWANAMKE MWEUSI KWENYE MAHUSIANO

Nilikuwaga sielewi kwanini hawa wanawake weusi aka blacks wanasifiwa sana?. Jaman hii type ni raha sana kudate nayo unakuwa huna stress kwanza hawana vizinga vya kizembe zembe, wanaridhika hata wakipewa kitu kidogo, yani wanajua kupenda na wengi wana true love. Sijamaliza bado, wanawake weusi wanajua nini maana ya mapenzi, wanajua kukaa na mwanaume halafu pia wanajituma sana akija ghetto anafanya kila kitu hadi kubrash viatu.  Ukija kwenye kule kwa 6x6 sio wachoyo kukupa na wanajua balaa ni mafundi na hawana maringo kabisa.  Shida ya hizi rangi nyeupe ni kwamba zina maringo sana na wanavizinga sana unakuta dada kaupele kadogo kameota anataka dawa halafu utasikia 50k dawa ya uson wtf?? Hawa mademu weupe wana vizinga sana halafu wengi ni malaya sana. Nasema haya coz me nilikuwa mhanga sana wa hizi type nyeupe ila toka nianze kula hizi nyeusi mmeona utofauti mkubwa sana mpaka nimeanza kuwaelewa mablacks yani hawana complications. Popote mlipo nyie wanawake weusi agizen...

USIMUAMINI KAMWE....!!

Dada zangu naomba niandike kwa sauti kubwa kabisa mnielewe maana aisee mnadanganyika na uongo mwingine mpaka mnanpia hasira ipo siku nitavunja simu yangu hapa na hali ilivyo ngumu! Iko hivi, kama una mpenzi wako, mpo kwenye mahusiano kwa zaidi ya miezi mitatu, narudia zaidi ya miezi mitatu, hajawahi kukupeleka kwake, mechi anataka mkapigie gest au nyumbani kwako. Ukitaka kwenda kwake anaanza sijui pale wambea wengi, mara bado naishi kwetu, mara naishi na wadogo zangu, mara kuna wageni wengi sijui nini? Kuna mwingine kaambiwa eti nyumba ina choo cha nnje utasumbuka na yeye akaamini. Unakuta mwanaume anakupa visababau sababu vya kijinga jinga ambavyo havieleweki, mwanaume anafanya kazi lakini hataki kabisa ujue kwao. Hata ukimuambia kuwa nionyeshe basi nyumba ilipo hata kama sitafika niingie hataki. Lakini sasa na hapa ndiyo mnadanganywa mwanaume huyu huyu unaweza kumpigia simu hata saa nane usiku tena wakati mwingine Video call basi huyu ana mke kabisa au mwanamke anaishi naye. Wan...