Skip to main content

Posts

USIMUAMINI KAMWE....!!

Dada zangu naomba niandike kwa sauti kubwa kabisa mnielewe maana aisee mnadanganyika na uongo mwingine mpaka mnanpia hasira ipo siku nitavunja simu yangu hapa na hali ilivyo ngumu! Iko hivi, kama una mpenzi wako, mpo kwenye mahusiano kwa zaidi ya miezi mitatu, narudia zaidi ya miezi mitatu, hajawahi kukupeleka kwake, mechi anataka mkapigie gest au nyumbani kwako. Ukitaka kwenda kwake anaanza sijui pale wambea wengi, mara bado naishi kwetu, mara naishi na wadogo zangu, mara kuna wageni wengi sijui nini? Kuna mwingine kaambiwa eti nyumba ina choo cha nnje utasumbuka na yeye akaamini. Unakuta mwanaume anakupa visababau sababu vya kijinga jinga ambavyo havieleweki, mwanaume anafanya kazi lakini hataki kabisa ujue kwao. Hata ukimuambia kuwa nionyeshe basi nyumba ilipo hata kama sitafika niingie hataki. Lakini sasa na hapa ndiyo mnadanganywa mwanaume huyu huyu unaweza kumpigia simu hata saa nane usiku tena wakati mwingine Video call basi huyu ana mke kabisa au mwanamke anaishi naye. Wan
Recent posts

MKUNDE PORI KIBOKO YA UZAZI | TASA

MIZIZI YA MKUNDE PORI NA FAIDA ZAKE ■ Inasafisha kizazi ■ Inazibua mirija iliyoziba ■ Inaondoa sumu kwa wale waliotumia sindano za uzazi/vidonge vya uzazi. ■ Inakomaza mayai kwa wale wenye tatizo la mayai kutokukomaa na kusababisha mayai kutokupevuka ■ Inasogeza kizazi karibu kwa wale ambao vizazi vyao vipo mbali ■ Majani ya mkunde pori pia ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume • Dalili mojawapo itakayokufanya ujue dawa hii ya mkunde pori inafanya kazi ni kwenda haja ndogo mara nyingi kuliko kawaida. • Dalili nyingine ni tumbo kuvuta sana chini ya kitovu. Usipoona dalili hizi usiogope maana ukubwa wa tatizo unatofautiana. ANGALIZO KWA WANAWAKE WATAKAOTUMIA KWA AJILI YA UZAZI, Ukinywa dawa hii hakikisha siku za hatari unakutana na mwenzi wako...na baada ya hapo usitumie dawa mpaka upime mimba kwanza maana mimba nyingine dalili zake huchelewa kuonekana hivyo unaweza ukanywa tena mimba kama imeingia ikatoka. Wajawazito hawaruhusiwi kutumia. MATUMIZ CHUKUA MIZIZ

STORI YA KWELI: WAKATI WA KULALA ALIKUA ANAPENDA KUNISHIKA...........!!

Nimeolewa nina mtoto mmoja, mme wangu anapenda sana kushika shika makalio yaani akiona niko mtupu tu basi bora anishike hata makalio aridhike, sikuogopa nilijua mwili wangu ni haki yake nikawa namuwachia, tukilala tu, anaweka mkono kwenye makalio ndio usingizi unampata alizowea hivyo. Yaani hata tugombane vipi tukilala tu anaweka mkono wake kwenye makalio kwa juu kila nikishtuka nakuta mkono, ILA HAKUWAHI KUNIAMBIA HABARI ZA KIINGILIA KINYUME CHA MAUMBILE Aliniheshimu sana wala hata sikuwahi kuhisi kama ana mtu nje yaani hata wazo sikuwa nalo maana unawezashinda na simu yake usione chochote, hata upekuwe vipi hukuti chochote, saa moja yupo nyumbani, weekend hatoki, yaani amani tupu, sasa kuna kipindi. Akaanza kuwa na tatizo la kutosimamisha i kawa akifika asubuhi anakuwa ha hamu kabisa, naamimi nakuwa na hamu sana, lakini inakuwa imesimama kidogo sana,basi naichezea naigusisha baadae kabisa ndio inasimama anaingiza, akiingiza unakuta katikati ya mapenzi inalala tena kwahiyo nakuwa

RAHA YA KUWA NA MWANAMKE MWEUSI KWENYE MAHUSIANO

Nilikuwaga sielewi kwanini hawa wanawake weusi aka blacks wanasifiwa sana?. Jaman hii type ni raha sana kudate nayo unakuwa huna stress kwanza hawana vizinga vya kizembe zembe, wanaridhika hata wakipewa kitu kidogo, yani wanajua kupenda na wengi wana true love. Sijamaliza bado, wanawake weusi wanajua nini maana ya mapenzi, wanajua kukaa na mwanaume halafu pia wanajituma sana akija ghetto anafanya kila kitu hadi kubrash viatu.  Ukija kwenye kule kwa 6x6 sio wachoyo kukupa na wanajua balaa ni mafundi na hawana maringo kabisa.  Shida ya hizi rangi nyeupe ni kwamba zina maringo sana na wanavizinga sana unakuta dada kaupele kadogo kameota anataka dawa halafu utasikia 50k dawa ya uson wtf?? Hawa mademu weupe wana vizinga sana halafu wengi ni malaya sana. Nasema haya coz me nilikuwa mhanga sana wa hizi type nyeupe ila toka nianze kula hizi nyeusi mmeona utofauti mkubwa sana mpaka nimeanza kuwaelewa mablacks yani hawana complications. Popote mlipo nyie wanawake weusi agizeni mirinda

MKASA: MWANAMKE NI KAMA MASAI UKIMFADHILI ANAKUACHIA MASHUKA

Yapata Miaka Mitano ilopita, baada ya kuona Maisha Bongo yamekaza, Ninja  huyoooo nikapanda Mwewe kwenda zangu Dubai Kuwa Mfagia Barabara na mbeba  Mabox. Usicheke Katika Nchi za wenzetu kazi ni kazi, na kila mmoja  anaheshimu kazi ya mwenzie.  Kule nilifikia kwa jamaa zangu wawili, Jamaa Walikuwa na Gheto hivyo mzee  nikajoin Nikawa naishi nao pamoja. So Asubuhi kila mmoja ilikuwa anachomoka  anaenda kwenye Mishe yake, Kama Ni kuuza Utumbo hayaa kama ni kwenda  kuzibua vyoo hayaa. Ila mbishi kazi yangu ilikuwa  nafagia Barabara karibu na Mall of the Emirates, wazee wa kule nadhani  wanapajua. Gheto tulikuwa na ratiba hivyo ilivyofika tu Jioni mwenye zamu  yake aliwahi kwenda kuandaa maakuli.  Kuna mtanzania Mwenzetu, kwa jina Tom yeye alikuwa ni Doctor pale, so alikuwa  na mafanikio na alifanikiwa kuchukua apartment akawa anaishi pale na  Mchumba wake wa kibongo. Mchumba wake alikuwa ni mtoto wa Kingoni aisee!  Nyuma alikuwa kafungashia Pundamilia huyo hakuna!. Kwa kawaida Wangoni ni

ASILIMIA 90 YA MANENO WAKATI UNATONGOZWA NI UONGO

Wakati wakutongozwa mkubali mwanaume kwakua amekuvutia, ukimuangalia unasema huyu tunaweza kuvumiliana hata katika mahusiano, kwakua anakuheshimu kwamba anapoongea na wewe haongei kauli za dharau na kishenzi na tatu kwakua yuko salama kiafya (sasa hapa ni kama na wewe upo tayari kupima) ila ukimkubali mwanaume kwakua alikuambia sijui  nini, sijui yuko siriasi anataka kuoa, sijui katoka kuumizwa, sijui anakupenda basi jua imekula kwako. Asilimia 90 ya maneno wanaume wengi wanayoongea wakati wanatongoza ni uongo. Kuna utongozaji wa namna mbili, aina ya kwanza ni kutongoza mwanamke usiyemjua, huyu umekutana naye kwenye Basi, mtaani, anapita njia na popote humjui hakujui, hapa unatumia ubaharia, unaonyesha tabia njema ukikisia labda anapenda hii na kile, unamsoma vizuri mwanamke na unamuacha ajiongeze mwenyewe. Mmabaharia tunajua kuwa ukimuacha mwanamke kuongea atakuambia kila kitu anachokipenda mara “Ohhh mimi nishaumizwa sana… nataka mtu siriasi ..nilikua na mahusiano na mwanaume bl

KAMA UNASUBIRI AMUACHE TARATIBU UTASHUHUDIA AKIMUOA TARATIBU!

Ubaya wa wanawake ni wagumu kuelewa, wakishapenda wanadhani kuwa mapenzi yanatosha, ipo hivi mapenzi yanatosha kama wote mnapendana. Ukikutana na mwanaume akakuambia kuwa “Nina mtu lakini nataka kumuacha polepole ili nisimuumize!” Basi jua kuwa huyo mtu hakupendi na anachotaka ni kuchepuka kwa uhuru, kwanza wewe ndiyo mchepuko ndiyo maana huyo mwingine hataki kumuumiza, hakuna cha kuacha taratibu na hakuna namna ambayo unaweza kumuacha mtu bila kumuumiza kama kweli alikua anakupenda! Kwanza kuacha polepole ndiyo nini kwamba unamkaanga au unamuacha kwa kumuwekea kachumbari! Ni sawa na kusema eti namchinza polepole tena ndiyo yenye maumivu makali zaidi, hembu fikiia unamchinja kuku polepole, unajua kuwa atakufa lakini unamchinja polepole. Kwanza niseme kuwa wewe unayeambiwa na ukakubali kuwa mwenzako aache polepole na huyo anayekuambia kuwa anaacha polepole wote ni washenzi tu, narudia wote ni washenzi tu! Hembu fikiria upo na mwanaume. Unajua anakupenda kumbe anakuacha polepole, k